MADIBIRA SEKONDARI,
MAKUBWA ALIYOFANYA
MWL M.P.NDANZI
KITAALUMA
mwl ndanzi
MWAKA 2006, mwalimu aliye kuwa akishikilia nafasi ya umakamu mkuu wa shule(mwl Ndanzi) alikabidhiwa kijiti cha ukuu wa shule. kijiti hicho alikipokea kutoka kwa mwl Sanga aliye staafu mwaka huo, wakati anakabidhiwa nafas hiyo shule ilikuwa na rekodi mbalimbali;zifuatazo ni baadhi ya taarifa zilizo kuwepo na namna alivyo ziboresha na matokeo yake.
Wakati anaanza kushikilia nafasi hiyo shule ilikuwa nyuma kitaaluma kwani wastani mdogo wa wanafunzi kwenda kidato tano na sita.kabla ya hapo mwanafunzi mmoja au wawili tu ndio walio fanikiwa kwenda advance.mwaka 2006 wanafunzi walioenda advance ni wengi kidogo, ingawa idadi hiyo ilipungua mwaka 2007 ambapo mwanafunzi mmoja tu(Hamis Nyove) ndiye pekee aliye fanya vizuri.mwaka 2008(09)angalia http://www.matokeo.necta.go.tz/CSEE2008/s1148.ht
, mwaka 2009 wanafunzi(09)
http://www.matokeo.necta.go.tz/matokeo_html/csee2009/s1148.htm
, mwaka 2010(07)
http://www.matokeo.necta.go.tz/matokeo2010/csee2010/s1148.htm
,mwaka 2011(03-Vitalis Msungwite,Vasco Katemo na Justine Kalinga)
http://www.matokeo.necta.go.tz/matokeo2011/csee2011/s1148.htm
,mwaka 2012(09)
http://www.matokeo.necta.go.tz/matokeo_html_2013/CSEE_2012/s1148.htm
mwaka 2013(21)
http://www.matokeo.necta.go.tz/matokeo_html_2013/CSEE_2012/s1148.htm
na mwaka 2014(29)
http://www.necta.go.tz/matokeo/CSEE2014/s1148.htm.
, mwaka 2009 wanafunzi(09)
http://www.matokeo.necta.go.tz/matokeo_html/csee2009/s1148.htm
, mwaka 2010(07)
http://www.matokeo.necta.go.tz/matokeo2010/csee2010/s1148.htm
,mwaka 2011(03-Vitalis Msungwite,Vasco Katemo na Justine Kalinga)
http://www.matokeo.necta.go.tz/matokeo2011/csee2011/s1148.htm
,mwaka 2012(09)
http://www.matokeo.necta.go.tz/matokeo_html_2013/CSEE_2012/s1148.htm
mwaka 2013(21)
http://www.matokeo.necta.go.tz/matokeo_html_2013/CSEE_2012/s1148.htm
na mwaka 2014(29)
http://www.necta.go.tz/matokeo/CSEE2014/s1148.htm.
Chini ya uongozi wake ndipo shule ilianza kupokea vijana wa kidato cha tano na sita ambao nao wanafanya vema mpaka sasa walio enda vyuoni ;matokeo yao mwaka 2012(52-wote)
http://www.matokeo.necta.go.tz/matokeo2012/ACSEE2012/s1148.htm
,mwaka 2013(41)

http://maktaba.tetea.org/exam-results/ACSEE2013/s1148.htm
,2014(29-wote akiwemo na Vitalis Msungwite na Justine kalinga)

http://www.necta.go.tz/matokeo2014/ACSEE2014/s1148.htm
,2015( wote)
http://necta.go.tz/matokeo/2015/ACSEE2015/s1148.htm
Chini ya uongozi wake tumeshuhudia ujenzi wa maabara ya kisasa shuleni hapo.

muonekano wa maabara kwa ndani
http://www.matokeo.necta.go.tz/matokeo2012/ACSEE2012/s1148.htm
,mwaka 2013(41)
http://maktaba.tetea.org/exam-results/ACSEE2013/s1148.htm
,2014(29-wote akiwemo na Vitalis Msungwite na Justine kalinga)

http://www.necta.go.tz/matokeo2014/ACSEE2014/s1148.htm
,2015( wote)
http://necta.go.tz/matokeo/2015/ACSEE2015/s1148.htm
Chini ya uongozi wake tumeshuhudia ujenzi wa maabara ya kisasa shuleni hapo.
muonekano wa maabara kwa ndani
No comments:
Post a Comment