Wednesday, 30 March 2016

MADIBIRA NA UTANDAWAZI

                       MADIBIRA YAPATA UMEME 

          madibira ni moja ya maeneo muhimu nchini hasa kutokana na uzalishaji wa mpunga kama yalivyo maeneo mengine ya wilaya ya mbarali.wafanya biashara kwa muda mrefu wamekuwa wakitumia mashine za diesel kuzalisha umeme ambao walilazimika kulipa sh 3000 kwa masaa7-9 sawa na sh 9000 kwa mwezi.
                           Image result for umeme
                              mafundi wakiwa kazini
kwasasa wamefungiwa nyaya za umeme sambamba na kuunganishiwa majumbani kwa baadhi ya vijiji tayari kwaajili ya kutumia siku za hivi karibuni
                                       Image result for madibira umeme
                                      nyaya kuelekea madibira zikionekana toka maeneo ya nyakazombe      
                                           
                                             mImage result for nyumba yenye umeme 
          maeneo muhimu ya kuinufaisha jamii ya madibira ni kituo cha afya,mashuleni, mashine ya kukoboa mpunga iliyopo mamcos ltd na kwenye benk zilizopo hapa
                          .Image result for mashine ya kukoboa mpungaImage result for mashine ya kukoboa mpunga
                     hata hivyo ni vema iwapo wananchi nwatapewa elimu ya matumizi ya umeme ili kuepusha ajali zitazo weza kujiyokeza kama inavyotokea maeneo mbalimbali duniani 
          ajali zilizotokana na umeme duniani
                               Image result for ajali ya umeme
                                   Image result for ajali ya umeme
                                  Image result for ajali ya umeme      
                                            Image result for ajali ya umeme 


No comments:

Post a Comment